Ilikua ni siku ambayo siyo ya kusahaulika ni katika birthday party ya dada yetu Upendo ndani ya Empire spot.Burudani ilivurumishwa na mkali Hip hop Larusa, Golden eye pamoja na Reggae singer Nikko P.Jaribu kufikiri ladha ya muunganiko wa Reggae na real Hip hop.Picha ya chini inamuonyesha Golden eye kwenye kipaza na Nikko P mwenye gitaa wakipiga live Afrika moja.
No comments:
Post a Comment